Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shaka ahisi Wizara ya Afya ilimdanganya Dkt Mpango

Saturday , 18th Sep , 2021

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka, ameitaka Wizara ya Afya kuacha sinema za maonesho kwa kutoa ahadi zisizo na matokeo yanayoonekana kwa wananchi kwa kushindwa kumlipa hati za malipo takribani 4 mkandarasi anayejenga hospitali ya kanda Mtwara.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka

Shaka amesema kuwa pamoja na kasi nzuri ya ujenzi inayofanywa na mkandarasi ambaye ni Shirika la Nyumba la Taifa, lakini Wizara ya Afya, imekuwa kikwazo kikubwa katika kuhakikisha hospital hiyo inakamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

"Naitaka Wizara ya Afya kueleza kama walimdanganya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango alipofika kuweka jiwe la msingi kwamba mapema mwezi Oktoba hospitali hii itakuwa imeanza kutoa huduma lakini ajabu mpaka leo hakuna dalili hizo, sasa ni vizuri wabadilike waanze kuwa watendaji badala ya kuwa wapiga maneno matupu," amesema Shaka.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao