Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AC Milan dimbani kwenye UEFA baada ya miaka saba

Wednesday , 15th Sep , 2021

Baada ya kukosa michuano ya Ligi ya mabingwa Barani ulaya kwa takribani miaka saba, miamba ya soka kutoka nchini Italia, AC Milan watakuwa na kibaru kizito dhidi Liverpool, usiku wa leo katika mchezo wa kwanza wa kundi B kwenye michuano hiyo.

Baadhi ya wachezaji wa AC Milan wakishangilia baada ya kufunga bao kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Italia 'Serie A'.

Mchezo huo ambao ni kumbukizi ya fainali ya mwaka 2005, Liverppol wakitwaa ufalme wa Ulaya na 2007 ulimwengu uliposhuhudia Milan wakilipa kisasi. 

Mtanange wa leo, historia itakuwa haina nafasi yoyote kwa pande zote mbili kutokana na mabadiliko,  utofauti na ubora kati ya vikosi hivyo, huku Liverpool ikipewa nafasi kubwa kushinda.

AC Milan watamkosa mkongwe Zlatan Ibrahimovic, lakini uwepo wa wachezaji wenye uwezo na vipaji kama  Theo Hernandez, Fikayo Tomori, Olivier Giroud, Sandro Tonali, Franck Kessie, Rafael Leao, Ante Rebic, Brahim Diaz, utampa unafuu kupanga Kocha Stefano Pioli.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma