Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wafua nguo na kuwapikia walimu

Wednesday , 15th Sep , 2021

Wananchi wa Vijiji vya Halawa na Ihusi Bariadi mkoani Simiyu, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wanaosoma shule za msingi katika vijiji hivyo vilivyopo pembezoni, kutumikishwa kazi za ndani na baadhi ya walimu ikiwamo kufua nguo na kuwapikia chakula, jambo linalotakiwa kudhibitiwa haraka

Baadhi ya wananchi Vijiji vya Halawa na Ihusi Bariadi mkoani Simiyu

Malalamiko hayo yametolewa kwenye mikutano ya hadhara katika vijiji hivyo, ambapo sheria ya mtoto namba 21 ya mwaka 2009 pamoja na itifaki za kikanda, zinazuia utumikishwaji wa watoto na kutoa kipaumbele cha elimu.

Kulingana na malalamiko ya wananchi, Diwani wa Kata ya Nkindwabiye, Safari Ng'habi, ametangaza uchunguzi juu ya suala hilo, huku Mkuu wa wilaya ya Bariadi, Lupakisyo Andrea Kapange, naye akatoa onyo kwa walimu wanaowageuza wanafunzi kuwa vijakazi wao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya