Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania wachangamkie magari yanayotumia gesi

Wednesday , 30th Jun , 2021

Kuanzishwa kwa matumizi ya magari yanayotumia gesi asilia kumeelezwa kuwa kutainua fursa kwa uwekezaji katika nchi ya Tanzania ambapo uzalishaji wa gesi unazidi kutiliwa mkazo huku serikali ikitenga mabilioni ya fedha kusaidia uzalishaji wake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya magari ya Scania Tanzania Limited, Johanna Lind

Akizungumza na kipindi cha East Africa Radio, cha Supa Breakfast Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya magari ya Scania Tanzania Limited, Johanna Lind amesema magari yanayotumia gesi asilia yatakuwa na faida katika kutunza mazingira na kupunguza hewa chafu ya (carbondioxide).

“Ujio wa magari haya ni fursa kwa uwekezaji mbalimbali kutokea hususan katika uzalishaji wa gesi itakayotumika, mabasi haya yana umuhimu katika kutunza mazingira na itasaidia kupunguza kodi kwani haina gharama kwenye uendeshaji wake, kuna tofauti kidogo kati ya magari haya yanayotumia gesi na mengine, hususan kwenye injini na ubunifu mbalimbali, tunaamini uwezo wa magari haya utakuwa mkubwa zaidi ya tunavyotegemea,” amesema Johanna.

Kwa upande wake Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Bi. Elivera Timothy amewataka Watanzania kuzichangamkia teknolojia zinazokuja kwa kasi kwani zinamsaada mkubwa katika kuinu si tu uchumi bali pia kuboresha maisha ya kizazi kilichopo na cha baadaye.

“Kwa teknelojia zinazokuja inabidi tuamke, kwasababu zinakuja na faida nyingi sana, kama tutapuuzia teknolojia hizi  itakuwa janga kubwa kwa kizazi chetu ambacho kipo sasa, kwa mtu yeyote mwenye gari nina muasa achukue hatua sasa kwamba kuna gesi ambayo anaweza akaipata kwa bei ndogo, atakuwa ana ‘operate’ (endesha) gari yake kwa bei ndogo huku anaokoa mazingira na kizazi chake,” amesema Elivera.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma