Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tasnia ya Habari yakumbukwa uteuzi wa Rais

Sunday , 20th Jun , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya zote nchini, ambapo katika teuzi hizo amegusa tasnia mbalimbali.

Pichani, Kulia ni Abdallah Mwaipaya wa ITV Mkuu wa Wilaya mteule wa Mwanga mkoani Kilimanjaro pamoja na Fatma Nyangasa ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya mteule wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Katika Tasnia ya Habari Rais amewateua Waandishi wa Habari mbalimbali. Miongoni mwa walioteuliwa ni Abdallah Mwaipaya wa ITV kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Pia yupo Fatma Nyangasa wa Azam TV kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es salaam, Gabriel Zakaria wa TBC kuwa Mkuu wa Wilaya ya Busega na Simon Simalenga wa Clouds kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe.

Aidha wapo wanahabari ambao walikuwa tayari ni Wakuu wa Wilaya na wameteuliwa kuendelea ila wakibadilishiwa vituo vya kazi ambao ni Godwin Gondwe aliyehamishiwa Kinondoni kutoka Temeke na Jerry Muro aliyehamishiwa Ikungi Singida kutoka Arumeru.

Zaidi soma orodha kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma