Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi watumia mapanga kuwatimua mafundi bomba

Wednesday , 9th Jun , 2021

Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Deodatus Kinawiro amepiga marufuku vitendo vya wananchi kuwatishia kwa mapanga mafundi wanaotandaza mabomba ya maji katika kijiji cha Rwagati kata ya Kemondo Bukoba Vijijini.

Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Deodatus Kinawiro

Ameongeza kuwa watakaorudia vitendo hivyo watachukuliwa hatua za kisheria maana kufanya hivyo ni kosa la jinai.

Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ikiwamo ya maji, mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa serikali imeweka gharama kubwa ya shilingi bilioni 14.8 kwa ajili ya kuhakikisha inaondoa kero ya maji kwa wananchi wa kata Kemondo na vijiji jirani, na kwamba ili mradi huo utekelezwe kwa ufanisi  wananchi wanapaswa kutoa maeneo yao kidogo kwa ajili ya kupitisha mabomba.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji Rwagati ulikotokea mtafaruku huo Yahya Nuru amesema kuwa wananchi wake walilalamikia mafundi hao kukata migomba yao katika maeneo ambayo hawakukubaliana awali lakini akadai kwa sasa wamekwishakubali kutoa maeneo yao kuruhusu mabomba ya maji yapite, huku mmoja wa wananchi akidai hana mgogoro tena na mafundi hao.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea