Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huu ndiyo undani wa utapeli wa lambalamba

Thursday , 6th May , 2021

Wananchi wa Kijiji cha Mawenzusi, Sumbawanga mkoni Rukwa, wamelalamikia utapeli unaofanywa na waganga wanaojiita lambalamba wanaopita majumbani na kuwaaminisha kuwa wamewekewa vitu vya kishirikina na mahasidi wao na wakiingia ndani hufukia vitu vyao na kisha kuvitoa na kutaka walipwe.

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mwenzusi, Sumbawanga

Wananchi hao wametoa kero hiyo mbele ya mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfani Haule, mara baada ya kuwatembelea katika kijiji hicho alipokuwa akikagua miradi ya maendeleo huku mwenyekiti wa kijiji hicho akikiri kushindwa kudhibiti utapeli huo.

"Nimekaa kupinga vitendo hivyo mpaka nimekaliwa vikao na vijana kiasi kwamba hata kutembea kwangu ni kwa wasiwasi", ameeleza mmoja wa wananchi hao

"Suala la lambalamba ni tatizo sana hapa kijijini ninaomba msaada wa kufa na kupona, niokolewe kwa sababu itafika wakati madhara yatatokea na itaonekana kwamba mimi Mwenyekiti ninahusika", ameeleza Mwenyekiti wa Kijiji hicho
 
Naye mwenyekiti wa waganga wa tiba asili mkoani Rukwa, Michael Jackson, amekemea vikali suala hilo huku akisema kuwa suala hilo halitambuliki kwa mujibu wa sheria zao na hivyo kinachofanywa ni wizi na utapeli kwani hawana vibali.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa watu hao wamepita kila vijiji vya wilaya hiyo na baadhi yao wamekwishakamatwa hivyo serikali itawachukulia hatua na mkondo wa sheria lazima ufuatwe.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya