Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hizi ndio sifa za Mwekezaji anayetakiwa Tanzania

Thursday , 22nd Apr , 2021

Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) imesema kufuatia uwekezaji uliofanywa katika mradi wa Mlimani City unaosimamiwa na mwekezaji Mlimani Holdings Limited kusaidia katika kupatikana kwa ajira zaidi ya elfu mbili na kodi za serikali inatarajia kufungua miradi kama hiyo Dodoma na Arusha.

Muonekano wa Jengo la Ofisi za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Kauli hiyo imetolewa hii leo mara baada ya ujumbe wa wataalamu kutoka Kutoka Kituo Cha Uwekezaji TIC waliotembelea kwa mwekezaji huyo ili kutazama changamoto alizopitia mara baada ya Covid-19 na changamoto zingine ili kuzipatia ufumbuzi.

Amesema serikali inaendeleza kuweka mazingira kwa kasi ikiwataka wawekezaji wa ndani na nje kuzidi kujitokeza kwa kuwa nchi ya Tanzania ina mazingira tulivu ya kisiasa.

"Tunatarajia Uwekezaji kama huu kufanywa katika Jiji la Dodoma utasaidia ajira na kodi kwa Serikali  sisi kama serikali TIC tunazidi kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje", amesema Bevin Ngize.

Kwa upande wa mwekezaji huyo amesema Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuwatambua wawekezaji kuwasaidia akibainisha wako tayari kuendesha miradi hiyo popote hapa nchini kwa kibali cha serikali.

"Mradi huu tangu mwaka 2004 umeanza Hapa kuna biashara za aina zote kumbi za mikutano na mazingira haya ambayo serikali yametupa nafuu sisi kama wawekezaji", amesema Mroso.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya