Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harry Kane ashikiki EPL lakini hali aacha utata.

Saturday , 17th Apr , 2021

Mshambualiaji na nahodha wa klabu ya Tottenham Hotspurs, Harry Kane ameonesha kiwang o safi kwa kufunga mabao mawili yalioisaidia timu yake kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Everton usiku wa jana ugenini kwenye dimba la Godison park.

Mshambuliai Harry Kane, akionekana kwenye matukio tofauti tofauti.

Mabao hayo yamemfanya Harry Kane kufikisha maba0 21 na kuongoza orodha ya wafumania nyavu kwenye ligi kuu England mpaka sasa kwa msimu huu akifuatiwa na mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah mwenye mabao 19.

Kane pia amefikisha mabao 164 na kuwa mshambuliaji wa saba mwenye mabao mengi wa muda wote kwenye historia ya ligi hiyo ambayo inaongozwa na mshambuliaji wa zamani na Newcastle na timu ya taifa ya England, Alan Shearer mwenye mabao 260.

Baada ya kuonesha umahiri wa kupachika mabao na kuweka rekodi nyingine ya kufunga mabao kuanzia 20 na kuendelea kwa misimu mitano mfululizo, lakini nyota huyo alifanyiwa mabadiliko dakika ya 90+3 baada ya kupata maumivu ya kifundo cha mguu na Delle Alli kuingia.

Utata uliosalia ni kwamba, bado hajajulikana nyota huyo ameumia kwa kiasi gani na lini atarejea uwanjani ambo linalomuumiza kichwa kocha wake Jose Mourinho kwani nyota huyo ndiye hodari wa kutengeneza mabao, mabao 16 kwenye ligi hiyo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya