Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi aibuka tena na Gigy Money

Thursday , 15th Apr , 2021

Msanii wa HipHop Wakazi ameendeleza kampeni ya 'Free Gigy Money' ambayo inahusu kufunguliwa kwa msanii Gigy Money ambaye amefungiwa kutojihusisha na masuala ya sanaa kwa kipindi cha miezi 6 kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Kushoto ni msanii Wakazi, kulia ni Gigy Money

Wakazi ameeleza kuwa Gigy Money ni mama wa mtoto pia anategemewa na familia yake, pia kuna wasanii wengine wanafanya mambo kinyume na maadili wanaachwa huru ila wanawaangushia jumba bovu wengine ambao hawana hatia.

"Kuna wasanii tena wakubwa wanafanya mambo ya ajabu, kinyume na maadili tuliyoyazoea, wanaachwa huru halafu Gigy Money ambaye alitumia ubunifu wa mavazi akashutumiwa yupo kinyume na maadili na kufungiwa miezi 6, Gigy Money ni mama anayetegemewa na mtoto na family yake it's not fair

"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amefungulia vyombo vya habari, nadhani watendaji wake nao wawafungulie wasanii waliokatazwa kufanya sanaa kimakosa kama Gigy, halafu tukae vikao vya kufanya maboresho ya kanuni, sheria, sera na mengineyo ili sanaa iende na wakati, ikue kiubunifu  na iwanufaishe wote wanaoifanya ili nao waweze kusaidia familia zao, na pia kulijenga Taifa" ameeleza msanii Wakazi

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma