Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baby John afunguka mazito kuhusu jinsia yake

Tuesday , 2nd Mar , 2021

Mwenyekiti wa Tanzania Voice of Humanity Baby John amesema kutokana na changamoto ukamilifu wa viungo vya uzazi wakati wa kuzaliwa kwake ndiyo vinafanya kushindwa kuitwa mwanamke au mwanaume.

Mwenyekiti wa Tanzania Voice of Humanity, Baby John

Akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ ya East Africa TV Baby John  ameeleza kuwa hawezi kusema kama ana jinsia moja au mbili kwa sababu ili uwe una jinsia kama mwanaume au mwanamke lazima kuna baadhi ya viungo uwe navyo mwilini ambavyo yeye hana.

"Kwa kifupi nilizaliwa na changamoto ya ukamilifu wa viungo vya uzazi ambavyo vinafanya kushindwa kuitwa mwanamke au mwanaume, nilivyozaliwa mama yangu alipewa taarifa mbili ya kwanza ni mtoto wa kiume, ya pili wa kike"

"Siwezi nikasema nina jinsia mbili au moja kwa sababu ili uwe na jinsia kuna viungo lazima uwe navyo, kwa mfano mwanamke lazima awe na ovari, uteras na mirija ya uzazi lakini hivyo vyote mimi sina na kwa mwanaume pia hivyohivyo, nimebaki njia panda

Aidha ameongeza kusema watu wenye tatizo hilo huwa wanazaliwa hivyo na hawataweza kushika ujauzito wala kumpa mtu ujauzito.

Zaidi mtazame hapa chini 
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja