Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manula yupo fiti kuivaa Al Merrikh

Tuesday , 2nd Mar , 2021

Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa hali ya kiafya ya goli kipa namba moja wa kikosi hicho ambaye pia ni kipa wa timu ya taifa ya Tanzania Aishi Manula imeendelea kuimarika baada ya kupata matibabu, kipa huyo alipoteza fahamu jana kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya JKT Tanzania.

Aishi Manula

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu ya Simba SC, kupitia ukurasa wao wa Instagram umewkeka wazi kuwa goli kipa Aishi Manula yupo salama na ataruhusiwa kutoka hospital kwenda nyumbani hii leo baada ya kupata matibabu kwenye Hospitali ya Kairuki mikocheni.

Aishi Manula aliumia jana kwenye mchezo wa ligi kuu katika dimba la Benjamin Mkapa, wakati timu yake ikimenyana na JKT Tanzania, Kipa huyo aligongana na mchezaji wa JKT na kupoteza fahamu akiwa uwanjani kwenye mchezo amabao Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-0.

Lakini pia taarifa hiyo iliyotolewa na mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba SC Haji Manara iliweka wazi kuwa mchezaji huyo atakuwa sehemu ya kikosi kitakachoondoka nchini kesho kueleka nchini Sudan, ambako timu hiyo itacheza mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Al Merrikh siku ya Jumamosi Machi 6, 2021.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya