Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanaotukosoa kwa staha hatuwachukii"- Magufuli

Thursday , 25th Feb , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amesema kuwa serikali haichukii watu wanaoipa changamoto na wanaokosoa kwa staha na kuwataka Watanzania watangulize uzalendo kwani si kila kitu cha kuweka mitandaoni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli

Rais Dk. Magufuli ametoa kauli hiyo leo Februari 25, 2021, wakati akizungumza katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika soko la kisasa la Kisutu pamoja na kuzindua jengo la Jitegemee na studio za Africa Magic Group Limited.

"Serikali haichukii wanaotupa changamoto na kukosoa kwa staha, kitakwimu tumeruhusu vyombo vingi sana vya habari katika kipindi hiki kuliko wakati wowote tangu tupate uhuru, sasa tuna vituo vya Radio 193 na vya TV vipo 46," amesema Rais Dk. Magufuli.

"Nitoe wito kwa wanahabari na Watanzania, vyombo tunavihitaji na habari tunazihitaji lakini tutangulize uzalendo na haki ya yule anayeandikiwa habari, pamekuwa na habari nyingi za uzushi mara fulani kafa mara vigogo wapukutika ni mambo ya ajabu," ameongeza kusema Rais Dk. Magufuli.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea