Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amfumania mumewe ndani ya miezi miwili tu ya ndoa 

Tuesday , 23rd Feb , 2021

Mwalimu wa mahusiano na ndoa Rosemary Mallya, amesema kuwa yeye aliamua kufanya kila kitu ili kuleta amani katika ndoa yake baada ya kumfumania mume wake ikiwa imepita miezi miwili tu tangu wafunge ndoa yao.

Mwalimu wa mahusiano na ndoa, Rosemary Mallya

Rosemary ameyasema hayo hivi karibuni kwenye kipindi cha DADAZ cha East Africa Television, kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa, na kuongeza kuwa mwanamke aliyemfumania naye walikuwa wanafahamiana na wanatoka 'out' kwani alikuwa akimchukulia kama rafiki wa kawaida.

"Mimi nilikuwa kwenye ndoa ambayo ni ngumu sana nimeteseka sana, nilikuwa kwenye ndoa ambayo unajua kabisa mume wako ana mwanamke kabla hamjaingia kwenye ndoa halafu mpo kwenye vikao vya mwisho vya harusi, unafanyaje, unatokaje sasa unawadhalilisha wazazi wako unaanzaje kuwaambia wazazi wako kama siitaki tena hii ndoa nikasema potelea pote nitaolewa,"amesema Rosemary

"Nimeolewa Oktoba na Desemba nikamfumania mume wangu, nikaja kugundua kwamba mwanamke ambaye mimi natokaga naye kila siku na mume wangu na marafiki zangu kumbe ni mke mwenzangu na huyo mwanamke alikuwa ni rafiki wa mume wangu, katika kutatua magumu ya ndoa yangu nilifanya kila kitu," ameongeza kusema.

Tazama video hapa

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya