Msanii wa HipHop Kala Jeremiah
Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Kala Jeremiah amesema akiwa Rais ataleta mabadiliko ambayo anaona yatafaa pia tayari ana wimbo unaoitwa ningekuwa Rais aliozungumzia masuala mengi juu ya uongozi.
"Mwaka 2010, 2015 na 2020 nimeombwa sana kugombea Ubunge mpaka vijana wananifuata nyumbani kutaka kunichukulia fomu lakini utayari ninanukuwa sina, nitakapokuwa ninaingia kwenye siasa sitamani kuwa Mbunge nitaingia kwa sababu nataka kuwa Rais wa Nchi, nitaleta mabadiliko ninayoyaona mimi na naijua nchi nje ndani" ameeleza Kala Jeremiah
Zaidi mtazame hapa chini akizungumzia kwa urefu zaidi.