Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaofungwa kifungo cha nje si mabosi tu

Thursday , 19th Nov , 2020

Afisa Huduma za Uangalizi Wilaya ya Kinondoni Mwajabu Salum amesema si kweli kwamba wafungwa wengi wanaohukumiwa kifungo cha nje ni watu wa nyadhifa za juu bali walio wengi ni maskini.

Afisa Huduma za Uangalizi Wilaya ya Kinondoni Mwajabu Salum

Akizungumza katika kipindi cha Supa Breakfast, leo Asubuhi Mwajabu, amesema kuwa wafungwa wanao wasimamia ni wale ambao wanatoka moja kwa moja mahakamani au walifungwa mahakamani na adhabu zao azitakiwi kuzidi zaidi ya mikia mitatu.

“Tunaowafungwa zaidi ya mia sita na asilimia kubwa ya wafungwa wengi tulionao katika kifungo cha nje ni watu wakipato cha chini sio kweli waliowengi katika kifungo cha nje ni mabosi” amesema Mwajabu Salum

Aidha Mwajuma amesema kuwa Kifungo cha nje ni adhabu mbadala kwa ajili ya kudhibiti msongamano wa wafungwa gerezani ambayo husaidia kuihusisha jamii kufanya urekebishaji wa jamii huku akiongeza kuwa adhabu hii humuwezesha mfungwa kuendelea na shughuli zake nyingine za kujiingizia kipato.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya