Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokisema Ndayishimiye baada ya JPM kuteuliwa

Saturday , 31st Oct , 2020

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amempongeza Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli,  baada ya hapo jana kutangazwa rasmi kuwa ndiye mshindi wa kiti hicho baada ya kupata kura  12,516,252.

Kushoto ni Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na kulia ni Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli.

Rais Ndayishimiye ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter, ambapo pamoja na pongezi hizo, amewapongeza pia Watanzania kwa kuiamua kesho yao ya amani na kwamba wameonesha ukomavu wa demokrasia.

"Kwa niaba ya watu wa Burundi, na kwa niaba yangu mwenyewe, ninatoa pongezi zangu za dhati kwa Rais Magufuli kwa kuchaguliwa tena, ninawapongeza pia Watanzania ambao wameamua maisha yao ya baadaye kwa amani na kuonesha ukomavu wao wa kidemokrasia", ameandika Rais Ndayishimiye.

Katika kinyang'anyiro hicho jumla ya vyama 15 vilisimamisha wagombea urais, na mara baada ya zoezi la upigaji wa kura na uhesabuji wa kura kukamilika, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilimtangaza Magufuli kuwa ndiye mshindi wa kiti hicho na kumshinda mshindani wake Tundu Lissu wa CHADEMA aliyepata kura 1,933,271.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya