Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia aeleza haya mkutano wa sekta binafsi

Sunday , 18th Oct , 2020

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu, ametaja sababu Rais Dkt.John Pombe Magufuli kutokuudhuria mkutano wa sekta binafsi uliobeba lengo la kumpongeza kwa mafanikio yaliyopatikana ndani ya miaka mitano.

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu

Akizungumza na wananchi waliodhuria mkutano huo leo, Oktoba 18, Mama Samia amesema kuwa yupo kwa ajili yakumuwakilisha Rais Magufuli, ambaye amefanya kazi kubwa sana ya kuzunguka nchi nzima  na kuongea na wananchi.

 

“Niko hapa kwa niaba ya Mhe.Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye alitaka sana kuwa nanyi leo lakini kama mnavyojua tumefanya kazi kubwa yakuzunguka nchi tumeongea sana ameongea sana Dar es salaam, kwa kweli mpaka ananipigia simu nikamwambia Mheshimiwa pumzika mimi naenda" alisema Mama Samia

 

“Najua hivyo yuko ofisini anaendelea na kazi kwa hiyo nipo hapa kwa ajili yake na nitasema yale ambayo angekuwepo angesema na nitapokea yale ambayo mmeniambia niyabebe nimpelekee bila kuongeza wala kupunguza" aliongeza Mama Samia

 

Leo sekta binafsi imefanya makutano kwa ajili ya kumpongeza Rais Dkt.John Magufuli kwa mafinikio yaliyopatikana chini ya uongozi wake kwa muda wa miaka mitano huku Mama Samia Suluhu, akiwa mgeni rasmi akimuwakilisha Rais Magufuli.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja