Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai aomba kupatiwa mabwawa manne Kongwa

Sunday , 27th Sep , 2020

Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi,(CCM), Jimbo la Kongwa Job Ndugai, amewasilisha ombi maalum la wanakongwa kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu la kuwatengenezea mabwawa ya maji katika wilaya yao.

Picha ya Mabwawa.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni Kongwa leo Septemba 27, Ndugai amesema wilaya hiyo ina maji mengi ya mvua ambayo yatasaidia kwenye kilimo cha kiangazi.

"Tunalo ombi maalumu, wilaya hii ya Kongwa tuna maji mengi sana ya mvua yanayopita, tukipata mabwawa kama manne hivi makubwa suala la kilimo cha kiangazi litakuwa ni katika sehemu kubwa sana ya uchumi wa eneo hili” alisema Job Ndugai

Aidha Ndugai aliendelea kuwasihi wanakongwa kujitokeza siku ya kupiga kura kwa ajili ya Chama cha Mapinduzi, katika ngazi zote nchini.

Lakini cha muhimu ni kile kichinjio chetu 28/10 kupiga kura kwa Chama cha Mapinduzi si Kongwa tu, mkoa mzima na nchi nzima"alisema Job Ndugai

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya