Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakuna wakuniweka benchi Yanga - Kaseke

Thursday , 17th Sep , 2020

Pamoja na usajili mzuri uliofanywa na Yanga, winga wa timu hiyo, Deus Kaseke, amesema hakuna wa kumweka benchi.

Deusi Kaseke anaamini bado ananafasi kwenye kikosi cha Yanga licha ya ingizo la wachezaji wapya kwenye nafasi yake

Kaseke ambaye anatajwa kupewa kitambaa cha unahodha anatarajiwa kukutana na upinzania wa namba katika kikosi hicho, baada ya   ujio wa wachezaji wapya Farid Mussa,  Tuisila Kisinda na Juma Mahadhi.

Kaseke amesema kwa kipindi  ambacho yupo na Yanga amejifunza mambo mengi yakiwamo ya namna ya kukabiliana na ushindani wa namba.

“Kwanza nashukuru wachezaji wanaocheza nafasi yangu kuongezeka kwa sababu kutanipa chachu ya kushindana, lakini pia haitokea  mimi kukaa benchi hapa, ninajiamini naweza kwa asilimia 90.

 “Kukaa benchi ni suala la mchezaji mwenyewe kukubaliana nalo, lakini kama huhitaji, utatafuta namna ya kufanya mazoezi hata kama ni ya peke yako ili mradi tu ukija mbele ya mwalimu uwe fiti,” amesema.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea