Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke atangaza kuolewa na Wanaume watatu

Thursday , 22nd Aug , 2019

Mwanamitindo na staa wa ubunifu wa mavazi na mfanyabiashara nchini Nigeria Toyin Lawani (37), ametangaza kutaka kuoelewa na Wanaume watatu atakapofikisha miaka 40.

Toyin Lawani

Toyin Lawani ametangaza hivyo kupitia Insta Stori ya mtandao wa kijamii wa Instagram, kuwa yupo tayari kuwajengea nyumba na kuishi nao wote wa watatu kwa pamoja.

Toyin Lawani ameandika kuwa "Kwanini Wanaume wanaruhusiwa kuoa Wanawake watatu na zaidi, mimi nitakapofikisha miaka 40, nitaolewa na wanaume watatu tofauti kwa pesa zangu mwenyewe, nitajenga nyumba kubwa na kuishi nao ila nitakuwa nachagua kila Mwanaume mmoja wa kulala naye kwa kila usiku mmoja".

Pia ameendelea kuandika, ''wanaume wanaaminishwa kuoa wanawake wengi, kwanini wanawake washindwe na sasa hivi dunia imebadilika na wanawake wanatakiwa waheshimiwe''.

Mwisho kabisa ameandika kuwa Wanawake hawawezi kupata ujauzito bila Wanaume, ila wana uwezo wa kununua mbegu za uzazi, mwanamke anabeba mimba kwa miezi 9, miaka miwili ya kumlea mtoto, Mwanaume hawezi kumpa mtoto zawadi wala hajali ila  anaweza kukusaliti.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma