Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kaka na Dada washinda kesi ya kuoana

Monday , 19th Aug , 2019

James Banes (41) na Victoria Banes (38 ) ni ndugu wawili wa familia moja pia ni wapenzi kutoka New Jersey Marekani, wameshinda shauri la mahakama kuhusu kufunga ndoa.

Ndugu hao wameshinda shauri hilo baada ya kukaa miaka 10 kupambania kuhusu kupitishwa kwa sheria hiyo kwa kaka na dada kuona wenyewe kwa wenyewe.

James Banes ambaye ni kaka wa familia hiyo amesema, "alikuwa anaishangaa mahakama kukubali mtu kufunga ndoa na binamu yake na si mtu na dada yake ilihali kuwa hata Adam na Hawa walifanya hivyo kwa nini leo isiwe kwa sisi ndugu".

Pia Victoria Banes naye ameendelea kusema muda wote walikuwa na ndoto ya kuwa na familia kubwa na ndoto hizo zinakuja kuwa kweli baada ya kushinda kesi hiyo na kwa sasa ni mjamzito anategemea watoto mapacha.

Baada ya kushinda kwa kesi hiyo ndugu hao wamesema walifurahi sana kusikia hivyo na kupitia wao, watawahamasisha mamilioni ya wamerakani kuwa na mahusiano na ndugu zao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja