Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukiwa na nguvu za kiume ni baraka tosha" - Bob

Friday , 9th Aug , 2019

Msanii na mtayarishaji wa muziki Bob Junior, amejisifia kuwa amebarikiwa nguvu za kiume tofauti na wanaume wengine.

Bob Junior

Msanii huyo amezungumza hayo kupitia eNewz ya EATV, akijibu tuhuma za kuingiza wanawake na kufanya nao mapenzi studio kwake.

"Kawaida tu mimi ni rijali, ukikuta mwanamke ana mahaba na mimi nampa tu nguvu za kiume ambazo nimejaaliwa na M/Mungu napaswa niwape watoto wa kike ambao wanahitaji mapenzi kutoka kwangu, ukiwa na nguvu za kiume ni baraka tosha kuna watu wanazitafuta hizo".

Aidha Bob Junior ameendelea kusema kuwa hawachukui wanawake wa watu ila wao wenyewe ndio wanamtafuta, wanampenda na anataka hata akifa aache kizazicha watoto 20 au 30.

Pia amezungumzia bifu kati ya Mr Blue na Bonge La Nyau, ambapo amesema hawezi kuingilia kati kwa sababu wote hao ni ndugu zake ila yupo tayari kuwapa "Beat" bure ili wafanye kazi kwa pamoja.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya