Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbrazil ashangazwa na mashabiki wa Simba

Wednesday , 7th Aug , 2019

Kiungo mpya wa klabu ya Simba, Gerson Fraga Vieira ameelezea jinsi alivyoshangazwa na mashabiki wa klabu hiyo waliojitokeza katika mchezo wa Simba Day hapo jana.

Gerson Fraga Vieira akishangilia na Kagere

Akizungyumza mara baada ya mchezo kumalizika, Gerson ambaye alimudu vizuri nafasi ya kiungo amesema kuwa hakutarajia kukutana na wimbi kubwa la mashabiki wa namna ile ambao wanashangilia wakati wote klabu yao, huku akiwaahidi makubwa msimu huu.

"Ulikuwa ni usiku wa kipekee kwenye maisha yangu, najisikia furaha sana kwa sababu hali ilivyokuwa hapa uwanja wa Taifa ni nzuri sana. Ninaomba kila wakati nipate sapoti kama hii ya mashabiki ambayo ni ya ajabu sana", amesema Gerson.

"Mashabiki watarajie mazuri maana napenda kucheza mpira na napenda kujipa changamoto mwenyewe, napenda kupigania mpira na napenda kuwa na mpira wakati wote", ameongeza.

Tamasha hilo la Simba Day lilikamilika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Power Dynamos ya Zambia, huku mshambuliaji Meddie Kagere akifunga hat-trick. Mchezo unaofuata wikiendi hii,  Simba itacheza na UD Do Songo ya Msumbiji katika mchezo wa hatua ya kwanza kuwania kufuzu makundi ya Klabu Bingwa Afrika.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma