Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muhimbili yakanusha mgojwa anayejigeuza ndege

Monday , 5th Aug , 2019

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imekanusha juu ya taarifa inayosambaa mitandaoni ikimuonesha mwanamke mmoja mgonjwa anayedaiwa kujigeuza ndege usiku na kurudi kuwa binadamu asubuhi, aliyekamatwa na wagonjwa wenzake.

Mgonjwa anayedaiwa kujigeuza ndege

Taarifa hiyo ya Hospitali ya Muhimbili imesema kuwa imejiridhisha na uchunguzi uliofanyika na wamebaini kuwa picha na video hiyo hazihusiani na Hospitali ya Muhimbili kimazingira na katika takwimu zao hawana mgonjwa kama huyo.

"Kwanza hatuna mgonjwa huyo, pili, hatuna wodi zinazofanana na hiyo katika hospitali zetu (Upanga na Mloganzila), tatu, wauguzi wanaoonekana katika viso hiyo hawajavaa sare za hospitali yetu", imesema sehemu ya taarifa hiyo.

"Tunawaomba wananchi na watumiaji wa huduma katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Upanga na Mloganzila) kutokuwa na hofu juu ya taarifa hizo kwani siyo za kweli", imeongeza taarifa hiyo.

Video inayosambaa mitanndaoni inamuonesha mwanamke huyo akiwa amezungukwa na wagonjwa, waangalizi wa wagonjwa na wauguzi kwenye wodi ya hospitali akikemewa na kutakiwa aondoke baada ya kukutwa na sintofahamu hiyo ya kujigeuza kutoka kuwa ndege hadi kuwa binadamu.

Isome hapa taarifa nzima.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya