
msanii wa muziki nchini Tanzania Meninah La Diva
Meninah ambaye urembo wake umekuwa ukiwachengua wengi, amekiri kupata usumbufu mwingi, hasa kutokana na nafasi yake kama mtu maarufu.

Msanii wa muziki Meninah Atick, maarufu zaidi kama Meninah La Diva ameamua kujiweka kando na masuala mazima ya mahusiano, ili kutoa muda zaidi wa kujihusisha na shughuli zake za sanaa.
msanii wa muziki nchini Tanzania Meninah La Diva
Meninah ambaye urembo wake umekuwa ukiwachengua wengi, amekiri kupata usumbufu mwingi, hasa kutokana na nafasi yake kama mtu maarufu.