Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yaliyotokea usiku wa UEFA

Wednesday , 13th Sep , 2017

Msimu wa UEFA 2017/18 umeanza rasmi usiku wa kuamkia leo kwa michezo nane kupigwa huku mambo mbalimbali yakijitokeza zikiwemo rekodi kwa baadhi ya timu pamoja na wachezaji.

Nyota wa Barcelona Lionel Messi kwa mara ya kwanza amefanikiwa kumfunga golikipa wa Juventus Gianluigi Buffon baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa Barcelona wa mabao 3-0. Katika mchezo huo Buffon ametimiza michezo 117 ya UEFA.

Manchester United walikuwa wanarejea kwenye michuano hiyo baada ya kuikosa msimu uliopita na mshambuliaji wake mpya Romelo Lukaku ameingia kwenye orodha ya wachezaji waliofunga katika mchezo wao wa kwanza wa UEFA baada ya kupachika bao moja dhidi ya FC Basel.

Muunganiko wa washambuliaji wa PSG Mbappe, Cavan na Neymar wanaounda 'MCN' wameendelea kufumania nyavu kwa pamoja baada ya kuilaza Celtic 5-0 huku Kylian Mbappe akiweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi kufikisha mabao 7 katika michuano hiyo.

Chelsea kwa mara ya kwanza imefunga mabao 6 chini ya kocha Antonio Conte baada ya kuifunga Qarabag mabao 6-0. Bayern Munchen wameweka rwekodi ya kushinda michezo 14 mfululizo ya ufunguzi wa hatua ya makundi.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao