Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TMT walitucheleweshea ubingwa- Muddy

Tuesday , 5th Sep , 2017

Nahodha wa timu ya Mabingwa wa Sprite BBall Kings 2017, Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' amefunguka na kudai kuwa ushindi ulikuwa wao tokea awali ila wapinzani wao TMT waliwachelewesha kukabidhiwa kikombe chao katika fainali hizo.

Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi

Muddy ameeleza hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Kipenga kutoka East Africa Radio na kusema wanafurahia kuwa mabingwa wa kwanza Tanzania katika mashindano ya Sprite BBall Kings.

"Tumefurahia sana kwa kuweza kuwa mabingwa wa Sprite BBall Kings 2017 lakini tokea awali mimi kama nahodha nilisema TMT, wanachelewesha tu ila wanatambua kuwa ushindi ni wetu. 'Game' ilikuwa nzuri, tunamshukuru pia Mwenyezi Mungu kwa sisi kuibuka washindi pamoja na mashabiki wa timu zote kwa sababu bila ya wao mwaka huu mashindano ya Sprite BBall Kings yasingefanikiwa lakini yameweza kufanikiwa kwa ajili yao walivyokuja kutu-support", amesema Muddy.

Pamoja na hayo, Muddy aliendelea kwa kusema "tunaomba mwakani mashindano haya yawepo tena, tutakuja kama mabingwa watetezi wa mashindano ya Sprite BBall Kings ili kuweza kutetea ubingwa wetu", amesisitiza Muddy.

Kwa upande mwingine, Muddy amewashukuru waandaji wa michuano hiyo ya Sprite BBall Kings ambao ni EATV LTD wakishirikiana na Sprite kwa kuweza kurudisha heshima ya mpira wa kikapu nchini Tanzania.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea