Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida na Lipuli kufungua raundi ya 10

Friday , 17th Nov , 2017

Ligi kuu ya soka Tanzania bara raundi ya 10 itaendelea wikiendi hii ikianza leo kwa mechi moja ambapo Singida United itakuwa nyumbani kuivaa Lipuli FC.

Singida United inayofundishwa na Hans Van Pluijm ipo katika nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi ikiwa na alama 14 wakati Lipuli FC inayofundishwa na Suleiman Matola ikiwa katika nafasi ya saba ikiwa na alama 13. Mshindi wa mechi ya leo atamzidi mwenzake katika msimamo wa ligi.

Wakati huo kesho vinara wa ligi hiyo Simba SC yenye alama 19 itakuwa jijini Mbeya kuivaa Tanzania Prisons yenye alama 14 katika nafasi ya 5. Simba imefanya mazoezi yake ya mwisho leo asubuhi kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine.

Siku ya Jumapili mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga SC wakiwa na alama 17 katika nafasi ya tatu itashuka kwenye dimba la Uhuru kuivaa Mbeya City yenye alama 11 katika nafasi ya 8.

Mchezo mwingine wa kusisimua utakuwa ni kati ya Azam FC inayoshika nafasi ya pili ikiwa na alama 19 dhidi ya Njombe Mji yenye alama 7 katika nafasi ya 14.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea