Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wakubali kushindwa

Tuesday , 23rd May , 2017

Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu klabu ya Yanga kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara kwa msimu wa tatu mfululizo, Simba wameamua kuongeza nguvu zao katika fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya Mbao FC itakayopigwa Jumamosi Dodoma. 

Mohamed Ibrahim, mchezaji wa Simba SC

Akizungumza mtandao wa Simba mchezaji Mohamed Ibrahim 'Mo Ibrahim' amewataka mashabiki wa Simba kwa kipindi hiki kuongeza nguvu na kutokea kwa wingi siku ya Jumamosi kuwapa nguvu wachezaji ili waweze kushinda mchezo huo na kuchukua kombe hilo kwa kuwa wamekosa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu. 

"Fainali hiyo ya Jumamosi ni muhimu sana kwetu sababu tukishinda tunachukua kombe, mashabiki wajitokeze wengi kuja kushangilia timu yao siyo siri hatutawaangusha sababu kombe kubwa tumelikosa basi hata hili ambalo lipo pembeni itabidi tuchukue, kwa hiyo mashabiki wajitokeze kwa wingi kuja kushangilia ushindi na kombe tunalokwenda kuchukua" alisisitiza 'Mo Ibrahim'

Endapo Simba itatwaa ubingwa huo, itapata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika, fursa ambayo imekosekana Msimazi kwa takriban miaka minne sasa

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma