Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji wa EPL astaafu akiwa na miaka 26

Tuesday , 13th Feb , 2018

Kiungo wa klabu ya Hull City ya England Ryan Mason, amelazimika kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 26 kwa tatizo la jeraha la fuvu la kichwa alilopata kwenye mechi dhidi ya Chelsea.

Mason amechukua uamuzi huo wa kustaafu baada ya kupewa ushauri wa madaktari wa upasuaji wa kichwa aliofanyiwa katika hospitali ya St. Mary mjini London, ambapo madaktari wameeleza kuwa Mason kuwa hai hadi sasa imekuwa ni bahati tu.

Katika mchezo huo wa EPL katika uwanja wa Stamford Bridge Januari 2016, Mason aligongana kichwa kwa kichwa na beki wa Chelsea Gary Cahill na kupasuka ambapo alitibiwa kwa dakika nane uwanjani kabla ya kukimbizwa Hospitali.

Baada ya kutibiwa Mason alianza mazoezi na klabu hiyo tena Mei 2017 lakini hakupata nafuu zaidi ya kucheza tena ambapo alikutana na watalaam zaidi wakamshauri aachane na soka.

Klabu ya hull City imewashukuru wale wote waliomsaidia kupona katika kipindi cha miezi 12 ya kuumwa kwake na sasa Mason anaanza maisha mapya nje ya soka. Mason ambaye ni raia wa England alianzia soka kwenye klabu ya Tottenham Hotspurs.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma