Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matola aongelea usajili

Wednesday , 15th Nov , 2017

Kocha wa klabu ya Lipuli FC Suleiman Matola amesema tayari ameshawasilisha kwa uongozi mahitaji ya wachezaji anaowahitaji kwenye dirisha dogo la usajili.

Matola amesema kikosi chake kina mapungufu kwenye safu ya ushambulijai hivyo ni lazima afanye usajili kwenye dirisha dogo ili kuboresha timu yake kwaajili mwendelezo wa michezo ya ligi kuu.

Kwa upande wa idadi ya wachezaji Matola ameeleza kuwa anahitaji wachezaji wanne ili kukamilisha mipango yake ya kupata matokeo mazuri.

“Timu yangu inahitaji wachezaji wanne wakiwemo washambuliaji eneo ambalo mimi naona bado lina upungufu lakini pia maeneo mengine ikiwemo kiungo na ulinzi”, amesema Matola.

Matola amesema ana matumaini kuwa mapendekezo yake yatafanyiwa kazi mapema na uongozi wa klabu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu. Lipuli FC inashika nafasi ya 7 ikiwa na alama 14.

Dirisha dogo la usajili kwa vilabu vya ligi kuu Tanzania Bara limefunguliwa rasmi leo Novemba 15 na litadumu kwa kipindi kifupi cha mwezi mmoja kabla ya kufungwa Desemba 15 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma