
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria kuzindua kitabu cha Muongozo wa Utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es salaam tarehe 31 Januari 2024.
31 Jan . 2024