‘’Katika kipindi hiki cha mapumziko tumekitumia vyema katika kuboresha kikosi chetu hivyo naamini mashabiki wa Yanga wasubiri kupata burudani kutoka ndani ya kikosi chao’’ amesema Kamwe.
Miamba ya soka nchini Dar Young Africans dhidi ya Hausing FC kunako dimba la Azam Complex Chamazi saa 1:00 jioni katika mashindano ya Kombe la FA.