Timu ya Mexico ikishangilia kwa kumrusha juu kocha wake, Jaime Lozano baada ya kuibuka kuwa washindi watatu wa Olympic kwa upande wa soka na kupata medali ya shaba mchana wa leo kwa kuifunga Japana 3-1.

6 Aug . 2021

Lionel Messi (kushoto) na rais wa Barcelona, Juan Laporta (kulia).

6 Aug . 2021

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF), Jenerali Venance Mabeyo (Kushoto), Kulia ni wanajeshi wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Marehemu Elias John Kwandikwa.

6 Aug . 2021

Roma Mkatoliki kushoto, kulia Nikki Mbishi

6 Aug . 2021

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

6 Aug . 2021

Waziri wa Kilimo Mhe. Prof. Adolf Mkenda

6 Aug . 2021

Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma

6 Aug . 2021

Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa

6 Aug . 2021