
Timu ya Mexico ikishangilia kwa kumrusha juu kocha wake, Jaime Lozano baada ya kuibuka kuwa washindi watatu wa Olympic kwa upande wa soka na kupata medali ya shaba mchana wa leo kwa kuifunga Japana 3-1.

Lionel Messi (kushoto) na rais wa Barcelona, Juan Laporta (kulia).

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (CDF), Jenerali Venance Mabeyo (Kushoto), Kulia ni wanajeshi wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Marehemu Elias John Kwandikwa.

Roma Mkatoliki kushoto, kulia Nikki Mbishi

Picha ya Love Jua kali

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Waziri wa Kilimo Mhe. Prof. Adolf Mkenda

Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma

Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Daniel Masolwa