Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vanessa atoa povu Jux kuhitimu

Thursday , 22nd Jun , 2017

Msanii Vanessa Mdee amempongeza mpenzi wake Juma Jux kwa kuhitimu elimu yake ya juu nchini China huku akiwapiga vijembe wale waliokuwa wanamsema msanii huyo kuwa hasomi bali anakwenda kukunua nguo, na kwamba picha alizoweka leo ni jibu tosha.

msanii Vanessa Mdee

Vanessa Mdee  ametoa pongezi hizo ikiwa ni siku moja baada ya Msanii huyo kuhitimu, na kutupia kijembe kwa wale waliokuwa wanapiga kelele siku za nyuma katika mitandao na vyombo vya habari vikimtaka Jux athibitishe kwa picha akiwa  darasani kama kweli anasoma huko, na kama jinsi wanafunzi wengine wafanyavyo wakiwa vyuoni.

"Congratulations Juma Jux finally done and you done did it well'. Hapo watu waliyokuwa wakiombaga picha za wewe darasani nadhani hii ni picha jibu la kutosha. Umeweza kufanya yote, muziki, biashara pamoja na shule, 'now that's exceptional' muda wa vibunda baba. 'Keep inspiring " aliandika kupitia https://www.viagrapascherfr.com/acheter-viagra-pfizer-tarif/ mtandao wake wa kijamii Vanessa.

Msanii Jux akiwa na wahitimu wenzake huko nchini China

Hata hivyo Jux mara nyingi amekuwa akitoa kauli ya kutothubutu kupiga picha kumuonesha akiwa darasani na kwamba yale ni maisha binafsi.

“Darasani sio sehemu ya kupiga picha umuoneshe mtu, kwanza darasani kwetu hairuhusiwi kupiga picha, haiwezekani kuwa mwalimu yupo anafundisha halafu napiga picha nioneshe watu, No. Mazingira yangu ya nje ya chuo nafanya kwavile ni maisha yangu ya nje ya chuo" Jux hukaririwa mara nyingi akitoa jibu hili kwenye vyombo vya habari.

Msanii Juma Mussa 'Jux' akiwa na tabasamu pana siku ya mahafali huko China.

Kwa Ujumla uongozi wa East Africa Radio na EATV unampongeza msanii huyo kwa hatua aliyofikia.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma