Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sholo Mwamba amkimbiza Man fongo studio

Sunday , 23rd Apr , 2017

Mesen Selekta ajibu kashfa ya kutaka kumpiga changa la macho Man fongo Mil 10 kwa kudai msanii huyo alishindwa kutimiza makubaliano ya kazi iliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano kwa kuhofia kushiriki katika wimbo mmoja na msanii Sholo Mwamba.

Sholo Mwamba na Man Fongo

"Hivi unawezaje kupewa milioni 10 ukampatia msanii laki mbili, huo ni ujinga na ninsingeweza kufanya hivyo. Mimi Man fongo sikuwa na makubaliano naye na lile halikuwa tangazo kama anavyodai. Mimi nilipata kazi kutoka kampuni ya simu ambayo ilidhamini show moja ya kuzunguka nchi nzima hivyo walitaka wasanii wafanye kitu kuhusiana na show hiyo lakini wakawa wamependekeza wasanii wanaowataka ndipo nilipokutana na uongozi wa Man fongo kujadili kazi.
Baada ya kuanza kusumbuliwa na ile kampuni mbona kazi haitoki Fongo akawa anazingua mara ukipiga simu hapokei ikipokelewa anapokea mke wake lakini tulikuja kugundua kuwa anaogopa kufanya kazi na  Sholo Mwamba" amesema Mesen Selekta.

Hata hivyo Mesen amesema baada ya migogoro iliyotokea kati ya Man fongo na Defatality music bado anamuhesabu msanii huyo kama chata wa singeli kwa kuwa ameweza kuwa msanii wa kwanza wa singeli kufanya shoo nje ya nchi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya