Peen Lawyer
Peenn Lawyer ameieleza eNewz kuwa, ladha hii ya muziki wa Tanzania na lugha yake imekuwa ni kitu ambacho kinapendeka sana nje, akisisitiza wasanii kuambatanisha ujumbe katika kazi zao.
Vilevile star huyo akagusia project yake mpya ya 'Mtu Flani' toleo la pili, rekodi ambayo inagusia makosa vilevile changamoto mbalimbali kurekebisha mambo yaende sawa katika jamii.

