Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki : Makampuni ya kigeni yataifishwe

Monday , 19th Jun , 2017

Hit maker wa ngoma ya 'Quality Time', Nikki wa Pili amefunguka na kushauri kwamba  makampuni ya kigeni yanayopewa nafasi ya uwekezaji nchini yataifishwe ili kutoa nafasi kwa wazawa kuendelea na biashara hiyo ikiwa ni pamoja na kusaidia kutoa ajira.

Msanii Nikki wa Pili

Nikki amefunguka hayo ikiwa ni siku chache tangu  kupata nafasi ya kuhudhuria uwasilishwaji wa ripoti za  mchanga wa dhahabu (Makanikia) Ikulu, na kusema kwamba uwizi wa rasilimali haujaanza kufanyika leo hivyo ni vyema Serikali ikaachia sehemu nyeti kama madini wakapatiwa watanzania.

"Ripoti zote zimeshaonesha ni kwa jinsi gani tumeibiwa vya kutosha, hapa ningeishauri kwamba makampuni yote yanayosimamiwa na wageni kutoka nje yataifishwe na wazawa wakabidhile kuyaendeleza.  Wawekezaji wanakwepa kodi kwa kusaidiwa na viongozi  pamoja na wanasiasa wanaowapunguizia hizi kodi hivyo kwa namna moja au nyingine huu ni uwizi" - alisema Nikki

Nikki amezidi kwenda mbali kwa kutoa mifano kama "Kwa mfano sehemu kama Bulyanhulu kulikuwa na wachimbaji wadogo wadogo laki tatu amekuja muwekezaji mmoja wale wote wameondolewa walioajiriwa hawafiki hata elfu kumi hivyo ajira zaidi ya laki mbili imepotezwa, hii siyo tena uzalishaji wa ajira bali upokaji.  sasa hivi Arusha hakuna tena kina Papa King wapya kwa sababu ya wawekezaji walioingia migodini- Nikki aliongeza.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba