Msanii wa kizazi kipya Rashid Shaban aka Mdoti
Rashid Shaban a.k.a Mdoti ameongea na eNewz kuwa hii ni kazi ambayo imefanyiwa kazi na producer mahiri nchini Issa Touch na pia ameweka wazi kuhusiana na jina lake hilo la Mdoti huku akiwasihi mashabiki na wadau kuonesha umoja katika kuinua kazi za wasanii chipukizi nchini.




