Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majani amchana Afande kikubwa

Friday , 19th May , 2017

Mtayarishaji wa Mkongwe wa Muziki Bongo, P. Funky Majani amemtaka Rapa Mkongwe Afande Sele kumuandikia mashahiri msanii Hamorapa anayechipukia kenye game ili kutimiza ndoto zake na siyo kumkatisha tamaa.

Majani amelazimika kumuomba Afande kufanya kazi hiyo baada ya kumdiss Harmorapa na kusema ''Harmorapa siyo msanii na hataweza kudumu kwenye 'game' ya bongo Fleva kwa muda mrefu".

Majani amefunguka hayo leo kwenye heshima ya bongo fleva ndani  Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kuwa kwa kuwa tayari Afande anakofia ya ufalme wa mashahiri anapaswa kuwasaidia wadogo zake wenye shauku ya kusikika na siyo kuwakatisha tamaa huku akijiona yeye ndiye anafaa kuimba kuliko wengine.

"Afande namuomba kitu , kama unaona dogo anayumba hutakiwi kumbeza bali unapaswa kumuandikia mashahiri na kukuza sanaa yake. Wewe ni Mfalme wa Rymes unapaswa kuwasaidia wadogo zako ambao wanaonyesha juhudi zao binafsi za kujituma. Siyo lazima Afande ufoke wewe usikike wasaidie hawa wachanga wainuke wawe bora kama wewe usiwakatishe tamaa ukiwa wewe ni kaka yao"- P Funk alifunguka.

Aidha Majani ameongeza kwamba Harmorapa amebadilika kimuziki tofauti na alivyoanza hivyo ni vyema akazidi kupatiwa misaada mbalimbali ya kumkuza kipaji chake, huku akimwelezea ni kijana anayejituma, mwenye adabu, pia mwenye shauku ya kufika mbali kimuziki.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea