Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madee 'amfungia' binti yake Instagram

Friday , 21st Apr , 2017

Rais wa Manzese, Madee Seneida ameapa kutomuhusisha binti yake na mitandao ya kijamii kwa sasa bali anapambana kufanya kazi katika kuhakikisha anamtengenezea binti yake maisha na kumuwekea akiba ya pesa benk na siyo picha.

Madee

Akiwa EATV Madee amesema kuwa maisha yake binafsi hayahusiani na mitandao ya kijamii na ndiyo sababu ya kugoma kumfungulia mtoto wake akaunti ya instagram kama wasanii wengi wakubwa ulimwenguni na Tanzania kwa ujumla.

"Mimi nilijua naulizwa kwa nini sijamfungilia mtoto wangu akaunti ya benk, kumbe tu ni akaunti ya Instagram jamani.... mimi  nitamfungulia akaunti ya benki na tayari nilikwishafanya toka alipozaliwa na siyo insta, mtoto mwenyewe nakaa naye mtaani siku 15 kati ya miezi sita hizo picha nitakuwa nampiga saa ngapi, hata mastaa wanaowafungulia watoto wao inaelekea wana muda wa kutosha lakini mimi muda sina na sitaweza kusimamia hata hiyo akaunti ya instagram yake na yangu ila akikua atafanya mwenyewe" - Madee.

Katika hatua nyingine Madee amekanusha vikali tetesi za kuwa na mtoto mwingine.

"Sina mtoto mchanga, bali nina mtoto mmoja ambaye ni Sada pekee na sula kama la kuwa na mtoto siwezi kulificha kwa sababu atakua... Mbona Sada niliwaambia. Kusema nina mtoto mwingine saizi ni mapema sana ingawa nina watoto wawili ambao ni Sada na Abdul-Aziz au Dogo Janja" Madee alimaliza.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya