
Kimbunga
Kimbunga amesema kuwa amekuwa katika game ya hip hop kwa miaka mingi sasa na pia baada ya kujiingiza katika swala zima la utayarishaji muziki ameona kuwa asijizuie katika kile anachoweza kufanya.
Msanii huyu pia ametambulisha leo kazi yake ya tofauti kabisa inayokwenda kwa jina Usitukane ambayo amemshirikisha Chegge Chigunda, na hapa anaeleza juu ya mabadiliko makubwa aliyofanya.