Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi Majani alivyombadilisha Harmorapa

Friday , 21st Apr , 2017

Msanii Harmorapa amekiri kuwa mtayarishaji mkongwe wa muziki Bongo P Funk Majani ndiye amembadilisha kutoka kwenye uimbaji wa rap wa kizamani hadi kufikia kurekodi kiboko ya mabishoo ambayo inaendana sawa na soko la muziki wa sasa.

Harmorapa na P Funk ndani ya FNL

Akiwa Kikaangoni Harmorapa amesema kuwa baada ya kutoa ngoma ya kwanza 'Usigawe pasi' Majani alimtafuta na kumpongeza kuwa anajua kuandika lakini bado uimbaji ni wa kizamani hivyo akaanza kumtengeneza ili kukaa sawa.

"Unajua Majani ni legend producer hapa nchini. mimi alinitafuta nilipoachia tu ngoma ya kwanza usigawe pasi akaniuliza vipi, nikasema nina ngoma zingine nilizowahi kurekodi nikamsikilizisha. Alinipongeza  kwenye uandishi kwamba najua kuandika ila tatizo lipo kwenye rap yangu kuwa ilikuwa ya kizamani sana na kwamba muziki ni biashara, akaniambia kilichobaki kwangu ni training tu ili nifanye poa"- Harmorapa.

Amesema baada ya ushauri na maelekezo kutoka kwa Majani, nipo aliporekodi Kiboko ya Mabishoo, pamoja na ngoma nyingine ambazo amesema zinatoka muda si mrefu, akiwa amebadilika kabisa.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea