Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Izzo afungukia kilichombadilisha kurap

Wednesday , 17th May , 2017

Izzo Biznez 'Jigga wa Mbeya' amejibu maswali ya mashabiki wanaohoji kubadilika kwa kufanya hip hop laini tofauti na zile harakati ambazo zilimtambulisha sokoni na kudai kwamba kazi za kundi ndizo zinamlazimu kwa sababu anashirikiana na mwanamke.

Leo akiwa Live kwenye Planet Bongo, Izzo amefunguka na kusema kuwa kazi za harakati ambazo ametoa peke yake zipo nyingi hazijatoka, lakini aliamua kubadilika kidogo kutokana na kuwa na 'project' ndani ya  kundi lake na Abella la  'The Amaizing' 

"Siyo kwamba nimeacha kuimba kama zamani lakini ukweli ni kwamba kuna Project ambazo tunafanya na Abella chini ya kundi letu la The Amaizing ndio maana nimelainisha mashairi  kido si mnajua nipo na mtoto wa kike! Mpaka sasa tayari tuna kazi tatu tulizoziachia kwa pamoja. Baada ya kumaliza project ya kundi nawaahidi nitachia kazi ya peke angu ya yule Izzo B mliyemzoea" Izzo alifunguka

Aidha Izzo akizungumzia suala la kupeleka muziki wake kimataifa amesema tayari ameshajipanga kwa ajili ya kuutoa muziki wake kwa kutayarisha kolabo na watu wa mataifa tofauti tofauti.

"Kwenda kimataifa siyo kazi ya kubip bip, ilihitaji kuwekeza na kujipanga kifedha, hilo niwahakikishie mashabiki zangu nimeshafanya kazi na wasanii wakubwa kutoka Kenya Uganda na mataifa mengine na muda siyo mrefu watazisikia naamini itakuwa njia nzuri ya kufika kimataifa"- Izzo Biznezz alimalizia.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea