Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Kaspar Mmuya, akipanda mti katika Jengo jipya la Makao Makuu ya Wizara, Mji wa Serikali, Mtumba Dodoma, leo Februari 2, 2024. Wanne kulia ni Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi hamad Masauni.

2 Feb . 2024

Mshambuliaji Karl Toko Ekambi

2 Feb . 2024

Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki

2 Feb . 2024

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akiagana na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano kati ya Tanzania na nchi hiyo, jijini Dodoma.

1 Feb . 2024