Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zaidi ya 500 hawana kazi 800 kikaangoni NIDA

Tuesday , 8th Mar , 2016

Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho nchini Tanzania(NIDA),imetangaza kusitisha mikataba ya Wafanyakazi 597 kutokana na uzalishaji kuwa chini ya ufanisi usioendana na idadi ya wafanyakazi walio katika Mamlaka hiyo.

Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Modest Kipilimba akijitambulisha kabla ya kuanza kikao cha Watendaji Wakuu wa NIDA.

Akiongea jana Jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Nida, Dkt. Modest Kipilimba amesema pia wafanykazi 802 wa kudumu watafanyiwa tadhimini ya utendaji wao wa kazi na huenda wafanyakazi wengine watarudishwa utumishi ambako watapangiwa kazi nyingine.

Dakta Kipilimba amesema kuwa Mamlaka imekuwa ikizalisha vitambulisho 1200 kwa siku badala ya vitambulisho 24000 kwa siku jambo ambali ni sawa na uzalishaji wa wa chini ya asilimia kumi hivyo kuisabishia hasara mamlaka hiyo.

Aidha Mkurugenzi huyo ameongeza kuwa katika uboreshaji wa utoaji wa vitambulisho hivyo wameongea na tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),ambao wamekubali kuwapatia mashine 5000,ambazo zilikuwa zinafanyiwa matengenezo.

Amesema kuwa mashine hizo zitasaidia kuongeza kasi ya kufikia wananchi wengi zaidi na kuwapatia vitambulisho lengo ikiwa ni kuhakikisha watanzania wote wanakuwa na vitambulisho vya taifa.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao