Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana CCM wajitokeza kwa wingi ubunge wa EALA

Saturday , 25th Mar , 2017

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha mapinduzi , Humphrey Polepole amesema hadi kufikia jana Machi 24, wanachama wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania ubunge wa Afrika Mashariki walikuwa 452.

Basila Mwanukuzi na Seki Kasuga

 Karibu wa Itikadi na Uenezi CCM- Humphrey Polepole

Katika zoezi hilo la kuchukua fomu vijana wengi wa CCM wameonekana kuchangamkia nafasi hiyo ya ubunge wa EALA akiwemo aliyekuwa miss Tanzania wa zamani Basila Mwanukuzi,  kada mkereketwa Seki Boniventure Kasuga na wengine wengi.

Huu ni mchakato wa ndani wa chama hicho ili kupata wawakilishi na Ndugu Humphrey Polepole amesisitiza uadilifu.

"Tumesisitiza tena rushwa na vitendo vyote vinavyokwenda kinyume na kanuni za uchaguzi na uongozi havitavumiliwa, wote watakaoshiriki matendo hayo vikao vya chama vitayaondoa majina yao". Alisema Polepole
 

Seki Kasuga

Chama cha CCM kinatakiwa kutoa wawakilishi 6 watakaokwenda kuwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika (EALA)

Basilisa  Mwanukuzi akiwa ametoka kuchukua fomu

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja