Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Mrema awahurumia wafungwa

Friday , 19th May , 2017

Mwenyekiti wa bodi ya Parole Taifa, Mh. Augustino Lytonga Mrema amefafanua na kusema sababu kubwa ya msongamano wa wafungwa Magerezani ni pamoja na wanachi kupenda kesi na visasi kwa kushindwa kumalizana mitaani, hivyo kuwataka kutoendekeza visasi .

Leo akifunguka kwenye East Africa Breakfast ya EA radio Mh. Mrema amesema kuwa wananchi wamekuwa sababu ya misongamano magerezani kwani kesi nyingine ni ndogo  za kuweza kumalizana nyumbani lakini wanaamua kukomoana kwa kupelekana polisi hadi kufikia kufungana.

Aidha Mh. Mrema ameongeza kwamba kuna wafungwa waliopo Magereza kwa kukosa watu wa kuwalipia faini hivyo ametoa nafasi kwa watu watakaoweza kufanikisha zoezi hilo waweze kuwasaidia  ndugu zao ikiwa ni pamoja na kuwaepusha na maradhi yapatikanayo kwenye msongamano wa magereza

"Kama Mume wako au mtoto wako amefungwa kwa kukosa faini unaruhusiwa kumlipia. ni vyema mkatumia nafasi ya sheria hii ili kuepusha msongamano magerezani. Lakini mnatakiwa kutambua kwamba kule siyo kuzuri na watu wanajifunza tabia mbaya na magonjwa mengi yanapatika kule, wasaidieni. Jukumu la kupunguza msongamano ni la wana ndugu"- alisema Mrema.

Pamoja na hayo Mh. Mrema ameongeza kuwa tayari ameshaliomba jeshi la polisi kuacha kuhangaika na mateja wasiojiweza kuwapeleka magereza bali wasaidiwe kwa kupelekwa vituo vya kuwasaidia waathirika wa dawa lakini pia wahakikishe wanaowapeleka magereza wawe mapapa wa dawa za kulevya ambao ni chanzo cha mateja nchini.

Mtazame Mh. Mrema hapa chini akifunguka kwa undani zaidi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma