Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Vampire' waibuka Afrika

Saturday , 21st Oct , 2017

Nchini Malawi kumekua na taarifa za kuwepo kwa watu wanaonyonya damu (vempire) na kuibua hali ya hofu kwa wakazi wa nchi hiyo hasa wanaoishi vijijini, huku kukiwa na vurugu kubwa zinazosababisha mauaji ya watu.

Matukio hayo yaliibuka mwezi Septemba ambapo baadhi ya watu akiwemo mmoja wa wabunge nchini humo, kuthibitisha kuwepo kwa wanyonya damu hao wanaohusishwa na imani za kishirikina, akieleza kwamba watu hao wana vyuma ambavyo watu wakiviangalia hupoteza nguvu.

Rais wa nchi hiyo Peter Mutharika amewataka wananchi kuacha mara moja vitendo vya kujichukulia sheria mkononi na kuua watu, huku akiwaonya wanyonya damu hao kuacha mara moja matendo hayo ya imani za kishirikina, na atapambana nao akisema vimeisikitisha serikali ya nchi hiyo.

Kufuatia vitendo hivyo watu 8 mpaka sasa wameuawa kwa kupigwa na makundi ya watu, wakiwahusisha na vitendo vya unyonyaji damu, huku mmoja wao akichomolewa kwenye kituo cha polisi alikowekwa na kupigwa mawe na wananchi mpaka kufa.

Nao Umoja wa Mataifa umeondoa baadhi ya wafanyakazi wake kwenye maeneo ambayo yana vurugu zaidi, na kuwaamuru kuhamia sehemu salama zaidi.

Matukio ya vitendo vya unyonyaji damu yaliwahi kuibuka mwaka 2002, huku yakihusishwa na ushirikina kutoka nchi acheter du cialis en ligne jirani ya Msumbiji.

Imetafsiriwa kutokaVOA & BBC

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya